Mimi Mars Afunguka Sababu za Kuachana na Uigizaji na Kujikita Kwenye Muziki
Msanii wa burudani nchini Tanzania, Marianne Mdee maarufu kama Mimi Mars, hatimaye amevunja ukimya kuhusu sababu zilizomfanya apotee kwenye tasnia ya uigizaji licha ya mafanikio...
RC Chalamila Azima Mzozo wa Wanamuziki wa Injili Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameingilia kati mgogoro uliokuwa ukichipuka ndani ya tasnia ya muziki wa Injili nchini Tanzania, na kufanikiwa...
“Finale Yavunja Rekodi: Bien Aelezea Mafanikio Makubwa Zaidi”
Bien amefunguka na kueleza kuwa wimbo wake wa “Finale”, aliomshirikisha Alikiba, umeweka rekodi mpya katika safari yake ya muziki tangu aanze kujitegemea kama msanii. Kwa...
Matonya kizimbani kwa madai ya unyanyasaji wa kingono
Msanii wa Tanzania, Sefu Shabani 43, anayejulikana zaidi kama Matonya amekamatwa na kushtakiwa nchini Kenya kwa madai ya unyanyasaji wa kingono Matonya, ambaye amewahi kutamba...
MUONEKANO WA BINTI WA FID Q WAWASHTUA WENGI
Gumzo kubwa mitandaoni hivi sasa ni muonekano wa binti yake mpendwa, Fidela Kubanda. Picha mpya zinazosambaa zikionyesha mabadiliko ya binti huyo tangu akiwa mchanga hadi sasa,...
Ndoa ya Fahyma Na Rayvanny Bado Sana
Katika mahojiano ya hivi karibuni, Rayvanny ameweka wazi kuwa suala la ndoa si jambo la kukurupuka. Moja ya sababu kubwa alizozitaja hapo awali ni umri...