Dolly Parton Afariki Dunia akiwa na Miaka 80
Dolly Parton, nguli wa muziki wa country nchini Marekani na mwandishi wa baadhi ya nyimbo maarufu duniani kama “Jolene” na “I Will Always Love You,”...
Bruno Fernandes ametwaa tuzo mbili za PFA!
Kiungo na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, ameshinda tuzo ya PFA Players’ Player of the Year, baada ya kutambuliwa kwa kiwango chake bora msimu...
LINDA Party Yaenda Mahakamani Kupinga Matumizi ya Jina “Linda Mwananchi”
Wamiliki wa LINDA Party wamewasilisha kesi mahakamani kupinga matumizi ya jina “Linda Mwananchi”, wakidai kuwa walianza mchakato wa kusajili jina hilo tangu mwaka 2024. Wamesema...
“See you at the altar, my love.” – Isaya Yunge
Mfanyabiashara wa teknolojia kutoka Tanzania, Isaya Yunge, amezua gumzo miongoni mwa mashabiki baada ya kushiriki ujumbe wa kimapenzi kwa Charlene Ruto, akidokeza kuhusu hatua inayofuata...
Watu Saba Wafariki Baada ya Ndege Kuanguka Samburu East
Watu saba, akiwemo rubani, wamefariki dunia baada ya ndege ndogo kuanguka katika eneo la Sabache Hills, Samburu East. Kwa mujibu wa taarifa za polisi, ndege...
Omar Artan Aweka Historia, Aitwa na UEFA kwa Mafunzo ya Waamuzi
Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Artan Abdulkadir, amepewa nafasi ya kipekee baada ya UEFA kumwalika kushiriki kozi maalum ya mafunzo kwa waamuzi wa kiume...