Aliyependekeza Jina La Tanzania Aaga Dunia
Mohamed Iqbal Dar, aliyependekeza jina la Tanzania katika shindano la kutafuta jina la taifa mwaka 1964, ameaga dunia akiwa usingizini jijini Birmingham, Uingereza, alikokuwa akiishi....
Smriti Vidyarthi Exits NTV After 16 Years
Long-serving NTV journalist Smriti Vidyarthi has left Nation Media Group after 16 years. In what was rare for the strong media voice, she could barely...
Pep Guardiola ameachana rasmi na mke wake Cristina Serra
Kocha mkuu wa Manchester City ya Uingereza Pep Guardiola ameachana rasmi na mke wake Cristina Serra baada ya kudumu kwenye ndoa miaka 30. Katika talaka...
Marvel iko tayari kumtangaza tena T’Challa kama Black Panther.
Kampuni ya filamu ya Marvel Studios inapanga kumtambulisha tena T'Challa kama Black Panther kupitia filamu zijazo ikiwa ni pamoja na Avengers: Doomsday na Secret Wars....
Jacqueline Wolper, amethibitisha kuachana na Mume wake, Rich Mitindo
Mwigizaji wa filamu na Mfanyabiashara nchini Jacqueline Wolper, amethibitisha kuachana na Mume wake, baba watoto wake Rich Mitindo, na kwa sasa anashughulikia suala la talaka....
MASHABIKI WAMSHUSHIA SHUSHO MATUSI KISA MARTHA MWAIPAJA
Mashabiki wameonesha kuchukizwa na kitendo cha Christina shusho kumpandisha mazabauni Martha mwaipaja kabla hajamaliza tofauti na mama yake mzazi, wamchamba kisawasawa. Mwimbaji mashuhuri wa nyimbo...