Anerlisa Muigai Arejea Mitandaoni Baada ya Mda Mrefu
Mfanyabiashara wa Kenya, Anerlisa Muigai, amerejea rasmi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kipindi kirefu cha ukimya, akichagua tukio maalum kuashiria kurejea kwake. Anerlisa alionekana...
Mandonga vs Majembe: War of Words Sets Stage for Explosive Boxing Showdown
A fiery exchange has erupted between Tanzanian boxer Karim Mandonga, popularly known as Mtu Kazi, and Kenyan fighter Portifas Odipo, alias Majembe, as anticipation builds...
Mimi Mars Afunguka Sababu za Kuachana na Uigizaji na Kujikita Kwenye Muziki
Msanii wa burudani nchini Tanzania, Marianne Mdee maarufu kama Mimi Mars, hatimaye amevunja ukimya kuhusu sababu zilizomfanya apotee kwenye tasnia ya uigizaji licha ya mafanikio...
RC Chalamila Azima Mzozo wa Wanamuziki wa Injili Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameingilia kati mgogoro uliokuwa ukichipuka ndani ya tasnia ya muziki wa Injili nchini Tanzania, na kufanikiwa...
“Finale Yavunja Rekodi: Bien Aelezea Mafanikio Makubwa Zaidi”
Bien amefunguka na kueleza kuwa wimbo wake wa “Finale”, aliomshirikisha Alikiba, umeweka rekodi mpya katika safari yake ya muziki tangu aanze kujitegemea kama msanii. Kwa...
Matonya kizimbani kwa madai ya unyanyasaji wa kingono
Msanii wa Tanzania, Sefu Shabani 43, anayejulikana zaidi kama Matonya amekamatwa na kushtakiwa nchini Kenya kwa madai ya unyanyasaji wa kingono Matonya, ambaye amewahi kutamba...