Hofu Kivuko Cha Likoni Baada Ya Mwanaume Mmoja Kukamatwa Akiwa Na Kitu Kilichoonekana Kama Bunduki
Hofu iliongezeka katika Kivuko cha Likoni, Mombasa, baada ya mwanamume mmojai kukamatwa akiwa amebeba kitu kilichoonekana kama bunduki, hali iliyowafanya maafisa wa usalama kuchukua hatua...
Serikali yapiga hatua kuhalalisha mnazi, kuwapa afueni wakulima wa minazi wa Pwani
Wakulima wa minazi katika eneo la Pwani huenda wakaruhusiwa hivi karibuni kufanya biashara ya mnazi kufuatia mipango mipya ya serikali ya kutambua kisheria pombe hiyo...
HAKUTAKUWA NA MAZUNGUMZO TENA, IRAN IJISALIMISHE YENYEWE
Rais wa Marekani Donald Trump amesema hakutakuwa na makubaliano yoyote kati ya nchi yake na Iran, isipokuwa taifa hilo lijisalimishe bila masharti, akisisitiza kuwa hatua...
Mahakama Kuu yaamuru serikali kumlipa aliyekuwa Mbunge Basil Criticos Ksh.30M kwa ukiukaji wa haki za kumiliki mali
Mahakama Kuu imeamuru serikali kumlipa aliyekuwa Mbunge wa Taita-Taveta Basil Criticos jumla ya Ksh.30 milioni kwa kukiuka haki yake ya kikatiba ya kumiliki mali. Katika...
Iran yathibitisha kifo cha kiongozi mkuu Ayatollah Ali Khamenei
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameripotiwa kufariki dunia, kwa mujibu wa madai ya maofisa kadhaa wa Israel. Inadaiwa mwili wake ulipatikana chini ya...
KQ yasitisha safari za ndege kwenda UAE kutokana na kufungwa kwa anga
Shirika la ndege la Kenya Airways limesitisha safari za ndege kuelekea Dubai na Sharjah kufuatia kufungwa kwa anga ya Umoja wa Falme za Kiarabu kutokana...