πƒπ€π•πˆπƒ π–π€ππ˜π€πŒπ€, ππ„πŠπˆ π‚π‡πˆππ”πŠπˆπ™πˆ, π€πŒπ„π‰πˆπ”ππ†π€ 𝐍𝐀 πŠπˆπŠπŽπ’πˆ 𝐂𝐇𝐀 πŠπ–π€ππ™π€ CHA BANDARI

David Wanyama, mwenye umri wa miaka 16, amepandishwa cheo kutoka Bandari Youth FC., na kujiunga na kikosi cha kwanza cha timu ya Bandari.