Mombasa Yakumbwa na Tetemeko Kuu la Ardhi
Kenya ilikumbwa na tetemeko la ardhi la wastani siku ya Jumapili, na kusajili ukubwa wa 4.5 karibu na miji yake ya pwani na jiji la...
AUNTY: NILIISHI MAISHA MACHAFU NIPATE KIKI
Nyota wa filamu nchini Gwantwa Ezekiel (Aunty Ezekiel) amefunguka kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kupata watoto alikuwa akijiachia sana kwa lengo la kutafuta kiki...
Mtawala wa kijeshi wa Niger ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano
Jenerali Abdourahamane Tchiani ameongoza nchi hiyo tangu 2023, baada ya kumuondoa madarakani Rais mteule wa Niger, Mohamed Bazoum. Siku ya Jumatano, Jenerali Tchiani alichukua wadhifa...
Lucia Witbooi Ateuliwa Kuwa Makamu wa Rais Katika Baraza la Mawaziri Nchini Namibia
Rais mpya wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah amemteua Lucia Witbooi kuwa Makamu wa Rais katika Baraza la Mawaziri lililopunguzwa. Nandi-Ndaitwah, ambaye aliapishwa Ijumaa baada ya chama...
Wafanyakazi wa VOA Kwenda likizo Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji
Wafanyakazi wa VOA wamewekwa likizo siku ya Jumamosi, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji Wafanyakazi wa Sauti ya Amerika...
MAREKANI : MSALABA WA PEPPERDINE AUKUGUSWA NA MOTO
Msalaba maarufu ulioko kwenye kilima katika Chuo Kikuu cha Pepperdine, Malibu, California, ulibaki bila kuguswa kabisa baada ya moto wa Franklin uliotokea Desemba 11, 2024....