MAAFISA WA KIJASUSI WAWAKATAI VIJANA WA KUNDI LA UHALIFU MOMBASA.
Kufuatia operesheni inayoongozwa na maafisa wa kijasusi katika Kituo Kikuu cha Polisi cha Mombasa, wamefanikiwa kuwakamata watu watano wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la uhalifu...
Mwenye Nyumba Atoa Sehemu Ya Paa La Nyumba Kisa Malipo Ya Kodi
Huko Makongeni, Thika, kisa cha kutatanisha kilitokea wakati mwenye nyumba alipochukua hatua kali, na kuondoa sehemu ya paa la mpangaji kutokana na malipo ya kodi....
Raila Ichongoa Serikali Kuhusu Malipo Ya Vitambulisho
Kiongozi wa Azimio Raila Odinga ameikashifu serikali kwa kuwataka Wakenya kulipa ili kupata vitambulisho vya Kitaifa au kulipia hata zaidi ikiwa utapoteza kitambulisho. Raila alisema...
Savara Wa Sauti Sol Ahoji Kivipi Mfalme Charles Hakuomba Msamaha
Msanii wa Sauti Sol, Savara, ametoa hisia zake baada ya ziara ya hivi majuzi ya Mfalme Charles nchini Kenya. Mwanamuziki huyo kupitia mtandao wa X...
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa...
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa...