Viongozi wa Kilifi Watishia Kuharamisha Miraa Kufuatia Hatua Ya Serikali Kupiga Marufuku ‘Mnazi’
Viongozi wa kaunti ya Kilifi wametishia kupiga marufuku Muguka, kufuatia marufuku ya hivi majuzi ya unywaji wa mvinyo unaojulikana kama ‘mnazi’ katika eneo hilo. Wakizungumza...
Zaidi Ya Wahudumu Wa Bodaboda 100 Eneo La Marungu Kufaidi Mafunzo Ya Udereva
Zaidi Ya Wahudumu Wa Bodaboda 100 eneo la Marungu, kauti ya TaitaTaveta, Kufaidi Baada Automobile Association of Kenya almaarufu AA kwa ufadhili wa shirika la...
Shilingi Ya Kenya Yaendelea Kufanya Vizuri Zaidi Ya Sarafu Zingine Ulimwenguni
Shilingi ya Kenya imekuwa fedha inayofanya vizuri zaidi duniani katika muda wa chini ya miezi mitatu. Hii ni baada ya kupata kwa asilimia 20, ikimshinda...
Cha Mackenzie Bado Jikoni, Mahakama Yakataa Kumwachilia Kwa Dhamana
Mahakama ya Mombasa imekataa kutoa dhamana kwa kiongozi wa kidini Paul Mackenzie pamoja na wazazi 38 wa watoto waliookolewa kutoka msitu wa Shakahola, kwa sababu...
MR NICE, A MAN OF MANY FIRSTS
BONGO Flava kama majira, uvumbuzi na uasisi ni asubuhi, jua la utosi lilipowadia, vipaji kibwena vili-disturb mitaa. Wakati huo sasa, pini “Friday Night” lilipikwa Mawingu...
Mtoto Ametelekezwa Katika Kituo Cha Soko Huko Taveta
Mapema Alhamisi asubuhi mtoto mchanga alipatikana akiwa ametelekezwa katika kituo cha Soko la Njukini eneo bunge la Taveta. Mtoto huyo wa kike, ambaye umri wake...