CROATIA YAILAZA MOROCCO MABAO 2-1 NA KUINGIA TIMU 3 BORA ZA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2022
#Croatia imefanikiwa kushika nafasi ya tatu kwa kushinda dhidi ya #Morocco magoli 2-1 Mchezo pekee uliosalia ni wa Fainali, wa timu ya #Argentina dhidi ya...
NGOMA YA HARMONIZE AMELOA YAPIGWA QATAR !!! KOMBE LA DUNIA
Star wa bongo flava na CEO wa Record ya label ya Kondegang, msanii Harmonize, ameweza kupata shavu kubwa baada ya wimbo wake “Ameloa” kupigwa nchini...
ARSENAL Yamteua Edu Gaspar Kuwa Mkurugenzi Wa Michezo
Klabu ya soka ya Arsenal imemteua Edu Gaspar kuwa Mkurugenzi Wa Michezo wa timu hiyo. "Tunayo furaha kutangaza kwamba Edu Gaspar ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wetu...
??????? ???????? ????????? ?? ?????? ????? ?? ?????
Hatua hiyo inatokana na Serikali ya Tunisia kudaiwa kuingilia masuala ya sokaOnyo hilo linakuja baada ya maoni ya mara kwa mara kutoka kwa Waziri wa...
???????? ?? ??????, ??????? ??í? ???á??? ?? ???? .
Ni mwanasoka wa kulipwa aliyestaafu ambaye alicheza kama mshambuliaji akijulikana sana katika mpira wa kombe la duniaAnachukuliwa kuwa mmoja wa wachezaji bora wa wakati wote....
Mchezaji Karim Benzema ashinda Ballon d’Or 2022
Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d'Or 2022 akiwa na wachezaji wanane kutoka Manchester waliotajwa kwenye 30 bora. Baada ya kuiongoza Real Madrid kutwaa mara...