Jadon Sancho ndiye mchezaji wa kwanza wa Man United kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa tangu 2011
Jadon Sancho ndiye mchezaji pekee wa Premier League katika fainali za Ligi ya Mabingwa Winga wa Manchester United Jadon Sancho amekuwa mchezaji wa kwanza anaemilikiwa...
5 Chungu Za Arsenal Wazitema Chelsea Dhidi Ya West Ham
Hatimaye Chelsea wameweza kutoa machungu yao dhidi ya klabu ya West Ham baada ya kuwacharaza mabao 5 nunge. Star wa Chelsea Cole Palmer alifungua ukurasa...
Uingereza Kwachacha! Arsenal, Man City Wanusia Kombe
Kinyang'anyiro cha kuwania taji la Premier League kinaelekea ukingoni huku ikiwa nguzu zaidi kwa watabiri wa mpira wa kandanda kubaini washindi kati ya Arsenal, Manchester...
Mamelodi Sundowns Wafuzu Kwa Nusu Fainali Ya CAF Baada Ya Kuibwaga Yanga SC [3] 0-0 [2]
Young Africans wameondolewa kwenye michuano ya CAF Champions League. Mamelodi Sundowns wamefuzu kwa Nusu Fainali. Mamelodi Sundowns yatinga nusu fainali ya michuano ya Caf Champions...
TOTTENHAM WAKWEA JEDWALI KWA MDA VIJANA WA UNAI EMERY WAKIDAI NAFASI YAO
Bao la dakika za lala salama la Son Heung-min liliiinua klabu ya Tottenham dhidi ya Luton 2-1 katika Ligi Kuu ya Uingereza Jumamosi na kuendeleza...
HAKUNA MAPUMZIKO KWA WANACHELSEA, WATOKA SARE NA BURNLEY.
Huenda masaibu na majonzi ya wanachelsea yakaendelea baada sare ya 2-2 dhidi ya klabu ya Burnley. Wachezaji kumi Burnley walijizatiti kwa mtindo wa kuvutia na...