Mwigizaji Mkongwe Hashim Kambi Afariki Dunia
Tasnia ya filamu nchini Tanzania imepata pigo kubwa kufuatia kifo cha mwigizaji mkongwe Hashim Kambi, aliyefariki dunia hapo jana, Aprili 27, 2026, jijini Dar es...
Hakuna cha Vikapu ni Mziki na Harusi! B Classic 006 na Cate Mpaka Mwisho
Msanii anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki, B Classic 006, rasmi ameaga maisha ya ubachela baada ya kufunga ndoa leo tarehe 23 Aprili 2026...
Anerlisa Muigai Arejea Mitandaoni Baada ya Mda Mrefu
Mfanyabiashara wa Kenya, Anerlisa Muigai, amerejea rasmi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kipindi kirefu cha ukimya, akichagua tukio maalum kuashiria kurejea kwake. Anerlisa alionekana...
Mimi Mars Afunguka Sababu za Kuachana na Uigizaji na Kujikita Kwenye Muziki
Msanii wa burudani nchini Tanzania, Marianne Mdee maarufu kama Mimi Mars, hatimaye amevunja ukimya kuhusu sababu zilizomfanya apotee kwenye tasnia ya uigizaji licha ya mafanikio...
MUONEKANO WA BINTI WA FID Q WAWASHTUA WENGI
Gumzo kubwa mitandaoni hivi sasa ni muonekano wa binti yake mpendwa, Fidela Kubanda. Picha mpya zinazosambaa zikionyesha mabadiliko ya binti huyo tangu akiwa mchanga hadi sasa,...
Ndoa ya Fahyma Na Rayvanny Bado Sana
Katika mahojiano ya hivi karibuni, Rayvanny ameweka wazi kuwa suala la ndoa si jambo la kukurupuka. Moja ya sababu kubwa alizozitaja hapo awali ni umri...