Watu 12 wafariki katika ajali mbaya ya barabarani Voi
Takriban watu 12 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha lori aina ya Nissan katika eneo la Ndii huko Voi, Kaunti ya Taita Taveta....
Rais Emmerson Mnangagwa Wa Zimbabwe Ametangazwa Mshindi Uchaguzi Wa Rais Wa Agosti 23
Mnangagwa ameshinda kwa kura asilimia 52.6 dhidi ya mpinzani wake Nelson Chamisa aliyepata asilimia 44. Matokeo hayo ya Uchaguzi mkuu nchini humo yametangazwa usiku wa...
Raisi Ruto aagiza Shirika la Huduma ya Wanyamapori nchini (KWS) kutenga asilimia 40 ya nafasi wakati wa kuajiri walinzi kwa jamii zinazohifadhi mbuga za kitaifa
Rais William Ruto ameagiza Shirika la Huduma ya Wanyamapori nchini (KWS) kutenga asilimia 40 ya nafasi wakati wa kuajiri walinzi kwa jamii zinazohifadhi mbuga za...
Mary Wanyonyi aapishwa katika tume ya ugavi wa raslimali.
Mary Wanyonyi alikula kiapo cha kazi mbele ya Jaji Mkuu Martha Kome katika mahakama ya upeo, Wanyonyi, kama mwenye kiti katika tume ya ugavi wa...
Ombaomba tajiri zaidi duniani Bharat Jain ana thamani ya Sh184,405,062.40.
Mwanaume mmoja huko nchini India, Bharat Jain, amejipatia dola 890,708 kwa kuhangaika mitaani. Sasa anaitwa "Ombaomba Tajiri Zaidi Duniani" Licha ya mwanzo wake duni, Bharat...
Kaunti ya TaitaTaveta kutumia Shilingi milioni 50 kusaidia uzalishaji wa mpunga
Wakulima wa mpunga huko Buruma kaunti ya Taita Taveta wana sababu ya kutabasamu baada ya serikali ya kaunti kufichua mipango ya kuwekeza kwa ukulima wa...