Spika wa Baraza La Wawakilishi La Marekani Atimuliwa
Kevin McCarthy ametimuliwa kama spika wa Baraza la Wawakilishi katika uasi wa kikatili na wa kihistoria wa Warepublican wa siasa kali za mrengo wa kulia...
Askofu Jackson Ole Sapit aikosoa serikali kwa kupanda kwa gharama ya maisha.
Askofu mkuu Jackson Ole Sapit ameitaka serikali kuweka mikakati upya ya utekelezaji wa ahadi walizozitoa katika kipindi cha kampeni huku akisema kuwa ni wakati sasa...
Afueni kwa Seneta Mungatana baada ya Mahakama kutoa muelekeo w Kesi ya Ksh76 Milioni
Afueni kwa Seneta wa Tana River Danson Mungatana baada ya mahakama kutoa muelekeo wa kesi ambapo alikuwa ameshtaki raia wa Chad kwa kumtapeli Ksh76 milioni....
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu ameachiwa kwa dhamana baada ya kukamatwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu na wenzake wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko...
Watu 12 wafariki katika ajali mbaya ya barabarani Voi
Takriban watu 12 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha lori aina ya Nissan katika eneo la Ndii huko Voi, Kaunti ya Taita Taveta....
Rais Emmerson Mnangagwa Wa Zimbabwe Ametangazwa Mshindi Uchaguzi Wa Rais Wa Agosti 23
Mnangagwa ameshinda kwa kura asilimia 52.6 dhidi ya mpinzani wake Nelson Chamisa aliyepata asilimia 44. Matokeo hayo ya Uchaguzi mkuu nchini humo yametangazwa usiku wa...