Mwanaisha Chidzuga Ateuliwa Naibu Msemaji Wa Serikali
Rais William Ruto alifanya mabadiliko makubwa katika serikali yake pamoja na kumteua aliyekuwa Seneta Mteule Isaac Mwaura kuwa Msemaji wa Serikali. Gabriel Muthuma na Mwanaisha...
Rais William Ruto amuongeza Waziri Mkuu Musalia Mudavadi majukumu zaidi katika mabadiliko ya baraza la mawaziri
Rais William Ruto amefanya mabadiliko ya Makatibu Wakuu wanane kwa wizara mbalimbali katika mabadiliko ya hivi punde ya baraza la mawaziri yaliyolenga kulainisha utendakazi huku...
Spika wa Baraza La Wawakilishi La Marekani Atimuliwa
Kevin McCarthy ametimuliwa kama spika wa Baraza la Wawakilishi katika uasi wa kikatili na wa kihistoria wa Warepublican wa siasa kali za mrengo wa kulia...
Askofu Jackson Ole Sapit aikosoa serikali kwa kupanda kwa gharama ya maisha.
Askofu mkuu Jackson Ole Sapit ameitaka serikali kuweka mikakati upya ya utekelezaji wa ahadi walizozitoa katika kipindi cha kampeni huku akisema kuwa ni wakati sasa...
Afueni kwa Seneta Mungatana baada ya Mahakama kutoa muelekeo w Kesi ya Ksh76 Milioni
Afueni kwa Seneta wa Tana River Danson Mungatana baada ya mahakama kutoa muelekeo wa kesi ambapo alikuwa ameshtaki raia wa Chad kwa kumtapeli Ksh76 milioni....
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu ameachiwa kwa dhamana baada ya kukamatwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu na wenzake wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko...