Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa mastaa wakubwa kutoka ukanda wa Pwani. Muziki wake Kadzo, Maria, na Bembea miongoni mwa wengine utahifadhi kumbukumbu za nguli huyo . Mwanamuziki huyo anayeishi Pwani aliaga dunia Jumatano, Novemba 1.…
Raia wa Chad ambaye aliyemlaghai Seneta wa Tana River, Danson Mungatana, Shilingi Milioni 76 katika dili ghushi ya mafuta ameondolewa mashtaka.
Seneta wa Tana River Danson Mungatana apoteza ombi la kumtaka, Chadian Abdoulaye Tamba kufungwa jela kwa kumlaghai Ksh 76M. Mahakama imemwachilia huru raia wa Chad...
EACC Yaagiza Kusimamishwa Kwa Zabuni ya Mfumo Mpywa Wa Mapato Kilifi
Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imeagiza Serikali ya Kaunti ya Kilifi kusimamisha malipo yaliyopangwa ya Sh103.8 milioni kwa ununuzi wa mfumo wa...
Mchungaji Ezekiel : Kanisa Langu Halimiliki Makafani
Mwinjilisti wa Kanisa la New Life and Prayer, Ezekiel Odero, amekanusha madai kuwa New Life Prayer Center Ministry inamiliki chumba cha kuhifadhia maiti. Akizungumza siku...
Bahati Na Mke Wake Diana Wazua Mjadala Kisa Picha Za chumbani
Aliyekuwa mwimbaji wa nyimbo za injili Kelvin Kioko almaarufu Bahati amezua utata baada ya kuchapisha picha za mkewe, Diana Marua, kwenye chumba cha utupu. Bahati...
Jada Pinkett Smith Asema Yeye na Will Smith Walitengana Tangu 2016
Muigizaji na mtangazaji Jada Pinkett Smith amefichua kuwa yeye na mumewe Will Smith wamekuwa wakiishi "maisha tofauti kabisa" tangu 2016. Jada ameweka wazi kuwa ingawa...