Jaji Amwachilia Mke wa Mchungaji Paul Mackenzie, Rhoda Mumbua,
Mkewe Mchungaji Paul Mackenzie, Rhoda Mumbua, aliachiliwa Jumatatu, Julai 3, kwa bondi ya Ksh100,000.Jaji Kiongozi Yusuf Shikanda pia alimpa Mumbua bondi mbadala ya Ksh300,000 kwa...
Wakaazi kadhaa waliripoti kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa kuporomoka katika eneo la Marikiti mjini Mombasa.
Jengo moja katika eneo la Marikiti kaunti ya Mombasa liliporomoka mnamo Jumamosi, Mei 27, baada ya kupata nyufa.Taarifa zilieleza kuwa wakazi kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa...
Waziri Machogu Avunja Bodi Ya Shule Ya Mukumu Girls Na Kumwamisha Mwalimu Mkuu
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu amemhamisha Mwalimu Mkuu wa Mukumu Girl, Frida Ndolo na kumteua Jane Mmbone kuwa mkuu wa shule.Waziri huyo pia amevunja bodi...
Vijana wa Mombasa kufaidi katika mpango wa kuhakikisha usalama wa ufuo na mtiririko wa trafiki
Zaidi ya vijana 2,000 kutoka kaunti ya Mombasa watapata watafaidi kupitia ajira na mafunzo ya ujuzi kupitia mpango wa ‘Mombasa Yetu Programme’ uliozinduliwa Alhamisi na...
Zaidi ya Watu Milioni 4 walijitokeza kuzunguka mitaa ya Buenos Aires kukaribisha timu ya Argentina
Wachezaji wa Argentina walilazimika kuondoka kwenye gwaride lao la basi na kuruka Buenos Aires kwa helikopta kwa sababu ya umati mkubwa wa watu. Inakadiriwa kuwa...
Hasara kwa wankijiji wa ????, kaunti ya TaitaT????? baada ya mafuriko
Mvua nyingi ilionyesha eneo la Taveta limesababisha mafuriko katika kijiji cha Mata, kaunti ya TaitaTaveta. Mbunge wa eneo la Taveta John bwire akishirikiana na maafisa...