Raisi Ruto aagiza Shirika la Huduma ya Wanyamapori nchini (KWS) kutenga asilimia 40 ya nafasi wakati wa kuajiri walinzi kwa jamii zinazohifadhi mbuga za kitaifa
Rais William Ruto ameagiza Shirika la Huduma ya Wanyamapori nchini (KWS) kutenga asilimia 40 ya nafasi wakati wa kuajiri walinzi kwa jamii zinazohifadhi mbuga za...
Mary Wanyonyi aapishwa katika tume ya ugavi wa raslimali.
Mary Wanyonyi alikula kiapo cha kazi mbele ya Jaji Mkuu Martha Kome katika mahakama ya upeo, Wanyonyi, kama mwenye kiti katika tume ya ugavi wa...
Ombaomba tajiri zaidi duniani Bharat Jain ana thamani ya Sh184,405,062.40.
Mwanaume mmoja huko nchini India, Bharat Jain, amejipatia dola 890,708 kwa kuhangaika mitaani. Sasa anaitwa "Ombaomba Tajiri Zaidi Duniani" Licha ya mwanzo wake duni, Bharat...
Kaunti ya TaitaTaveta kutumia Shilingi milioni 50 kusaidia uzalishaji wa mpunga
Wakulima wa mpunga huko Buruma kaunti ya Taita Taveta wana sababu ya kutabasamu baada ya serikali ya kaunti kufichua mipango ya kuwekeza kwa ukulima wa...
Jaji Amwachilia Mke wa Mchungaji Paul Mackenzie, Rhoda Mumbua,
Mkewe Mchungaji Paul Mackenzie, Rhoda Mumbua, aliachiliwa Jumatatu, Julai 3, kwa bondi ya Ksh100,000.Jaji Kiongozi Yusuf Shikanda pia alimpa Mumbua bondi mbadala ya Ksh300,000 kwa...
Wakaazi kadhaa waliripoti kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa kuporomoka katika eneo la Marikiti mjini Mombasa.
Jengo moja katika eneo la Marikiti kaunti ya Mombasa liliporomoka mnamo Jumamosi, Mei 27, baada ya kupata nyufa.Taarifa zilieleza kuwa wakazi kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa...