Huduma Day : Wajumbe Wa Serikali Wafanya Kongamano La Vijana TaitaTaveta
Naibu Waziri Shadrack Mwadime na wajumbe kutoka Serikali za Kitaifa na Kaunti walifanya Kongamano la Vijana la Taita Taveta 2024 katika Kaunti Ndogo ya Taveta.Mkutano...
HANA MWANGA TENA! MWANGAZA WA GAVANA MWANGAZA WAZIMIA
Hatimaye kitumbua cha gavana wa kaunti ya Meru Kawira Mwangaza kimeingia mchanga baada ya bunge la seneta kuhidhinisha madai ya kaunti ya kumtimua ofisini. Haya...
Israel yajibu mashambulizi bandari ya Yemen baada ya waasi wa Houthi kushambulia Tel Aviv
Baada ya waasi wa Houthis kushambulia ndani ya Israel kwa makombora, Israel ilijibu uchokozi huo kwa shambulio moja kubwa na baya lililoangamiza kabisa bandari hiyo...
Israel yashambulia bandari ya Yemen baada ya waasi wa Houthi kushambulia Tel Aviv
Shirika la haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kwamba shambulio la Israel katika bandari muhimu ya Hodeida nchini Yemen litapelekea hali mbaya ya...
Kilifi : Bibilia ya Lugha ya Chonyi yazinduliwa
Shirika la Kutafsiri Biblia na Kusoma na Kuandika (BTL) limezindua Biblia ya Agano Jipya ya lugha ya Chonyi katika Eneo Bunge la Kilifi Kusini, na...
Jopokazi Lapendekeza Mabadiliko Kwa Taasisi Za Kidini Za Kenya
Serikali imedhamiria kutekeleza kanuni mpya kali kwa taasisi za kidini kufuatia mapendekezo ya jopokazi liloundwa baada ya mkasa wa Shakahola mwaka jana.Jopokazi hilo, likiongozwa na...