Jalang’o reminds Bahati of his gospel vow amid song backlash
Lang’ata Member of Parliament (MP) Phelix Odiwuor, popularly known as Jalang’o, has weighed in on Bahati’s, latest controversial song. The song, whose explicit video and bold...
Za Diddy Zafika, Miezi 50 Jela kwa kosa la ukahaba
Mwanamuziki wa Marekani, Sean “Diddy” Combs amehukumiwa kifungo cha miezi 50 jela (takribani miaka 4) pamoja na faini ya Dola 500,000 kwa kosa la usafirishaji...
Mbosso amuhenzi mwalimu wa shule ya msingi aliyeubadilisha wimbo wake wa ‘Pawa’
MSANII Mbwana Yusuf Kilungi, maarufu Mbosso, amemshangaza mwalimu wa shule ya msingi baada ya kusafiri umbali wa zaidi ya kilomita 388 hadi Tanga Hills, ambako...
“Rayvanny Hatoweza Kumpata Mwanamke Bora Kama Mimi” ~Fayhma.
Mrembo Fayhma ameshindwa kujizuia kutoa ya moyoni baada ya kubwagana na mpenzi wake na baba mtoto wake ambaye ni msanii Rayvanny. Fayhma ameandika ujumbe unaosomeka...
Ugomvi wa Diamond Platnumz na Mbosso Wazidi Kuongezeka Mitandaoni
Diamond Platnumz aliweka hadharani kwenye Instagram Stories, akisema hajawahi kutaka suala hilo na Mbosso kucheza mtandaoni. Alidai kuwa alimpigia simu na kumtumia ujumbe Mbosso faraghani,...
Mwana FA na AY washinda rufaa fidia dhidi ya Tigo
Mahakama ya Rufaa Tanzania imewapa ushindi wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) na Ambwene Yesaya (AY), katika rufaa ya muda mrefu...