RASMI IBRAAH AMEMALIZANA NA KONDEGANG
Rasmi sasa Chinga @ibraah_tz amemalizana na lebo aliyokuwa akifanya nayo kazi Konde Music Worldwide baada ya makubaliano yaliyofikiwa kati yake,lebo hiyo na Baraza la Sanaa...
B Classic Arejea Na Melody Ya Tipsy – “I Like It”
Msanii B Classic amerudi tena na ngoma mpya ya "I Like It" wakati huu akiwa tipsy na melody za mapenzi. Hii ni baada ya kupotea...
NGOMA YA “GOD DESIGN” YA JUX YATIKISA TRENDING NO: 1 NIGERIA
Siku tano tu tangu atoe wimbo wake mpya God Design akiwa amemshirikisha rapa kutoka Nigeria, Phyno, msanii wa Tanzania Jux ameandika historia mpya katika muziki...
Nandy Aachana Na Yammy
Nandy amethibitisha ya kuwa Yammy hatokuwa tena msanii wake chini ya Label ya THE AFRICAN PRINCES kwa makubaliano ya Kirafiki baina ya pande mbili ....
Jacqueline Wolper, amethibitisha kuachana na Mume wake, Rich Mitindo
Mwigizaji wa filamu na Mfanyabiashara nchini Jacqueline Wolper, amethibitisha kuachana na Mume wake, baba watoto wake Rich Mitindo, na kwa sasa anashughulikia suala la talaka....
MASHABIKI WAMSHUSHIA SHUSHO MATUSI KISA MARTHA MWAIPAJA
Mashabiki wameonesha kuchukizwa na kitendo cha Christina shusho kumpandisha mazabauni Martha mwaipaja kabla hajamaliza tofauti na mama yake mzazi, wamchamba kisawasawa. Mwimbaji mashuhuri wa nyimbo...