?????? ?? ?????? ?????? ???????? ?? ??????? ?? ????? ????? ???? ???? ????????????? ????? ?? ????? ???? ??? ??????? ???????.
Hapo jana wafuasi wa bongo movie na mashabiki wa aliyekuwa movie star wa Filamu za kibongo marehemu Steven Kanumba, waliweza kuadhimisha mwongo mmoja tokea kufariki...
Mwaniaji wa Ubunge wa Kata ya Chaani, Kaunti ya Mombasa kupitia tiketi ya UDA, aaga dunia kwa ajali ya barabara mjini Voi
Nancy Wanjala Mwashuma, ambaye pia ni mgombea ubunge wa kata ya Chaani, katika kaunti ya Mombasa, alianga dunia kupitia ajali mjini Voi alipokuwa akienda nyumbani...
Daktari Ezekiel Mutua Ateuliwa Kama Afisa Mkuu Mtendaji Wa Chama Cha Hakimiliki Kipya Cha Muziki Kenya (MCSK)
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Uainishaji wa Filamu nchini Kenya (KFCB) Daktari Ezekiel Mutua ameteuliwa kuwa mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa chama cha hakimiliki cha...
Vijana Kufaidika Baada Ya Serikali ya Kaunti ya Mombasa Kutia Saini Mkataba Wa Maelewano (MoU) na Mpango wa Kizazi Kenya (GPK)
Serikali ya Kaunti ya Mombasa kupitia Idara ya Elimu na ICT leo imetia saini Mkataba wa Maelewano (MoU) na Mpango wa Kizazi Kenya (GPK) Ushirikiano...
Mama Ida Odinga urges for regulation of churches to curb rogue clergy
Mama Ida Odinga calls for abolishment of small churches in the country. She noted that many small churches had cropped up in the past few...
Nikitembea barabarani sipati hata kamwanaume kakinisimamisha n kuniomba number hata wa salamu tu hakuna kama kitambo – Mrembo Alalama
Mrembo mmoja Taveta amejitwika jukumu na kueleza masaibu wasichana mjini Taveta wanapitia. Kulingana na malalamishi aliyotoa Vijana Taveta wamezembea kazi. Msichana anatoka nyumbani kwao akitembea...