Charity Kaluki NgiluĀ ajiondoa kwa kinyang’anyiro cha ugavana katika kaunti ya Kitui
Gavana wa Kitui Charity Ngilu hatatetea kiti chake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Agosti 9. Uamuzi wa Ngilu kujiondoa katika kinyang'anyiro cha ugavana uliwekwa wazi...
MWANDISHI ALIYEANDIKA KITABU CHA JINSI YA KUMUUA MUME, AKUTWA NA HATIA YA MAUAJI YA MMEWE NA KUHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA.
Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni kuna mwamamke mmoja ambaye ni mwandishi wa kitabu chenye jina lenye maana sawa na kusema ''Jinsi ya kumuua...
Marekani italinda Taiwain dhidi ya uvamizi wa China : Joe Biden
Rais Joe Biden wa Marekani amesema taifa lake litalinda Tawaian kijeshi kama China itavamia kisiwa hicho chenye kujitawala chenyewe. Joe Biden ameonya China kuwa inachezea...
Mashua ya Injini yafikia kikundi cha Imbaria, Ziwa Chala
Mheshimiwa Fundi Saleri ambaye pia ni mwakilishi wa kauti ndogo ya Bomeni, TaitaTaveta Leo amekutana na viongozi wa kikundi cha usimamizi wa ufuo cha Imbaria...
?????? ?? ?????? ?????? ???????? ?? ??????? ?? ????? ????? ???? ???? ????????????? ????? ?? ????? ???? ??? ??????? ???????.
Hapo jana wafuasi wa bongo movie na mashabiki wa aliyekuwa movie star wa Filamu za kibongo marehemu Steven Kanumba, waliweza kuadhimisha mwongo mmoja tokea kufariki...
Mwaniaji wa Ubunge wa Kata ya Chaani, Kaunti ya Mombasa kupitia tiketi ya UDA, aaga dunia kwa ajali ya barabara mjini Voi
Nancy Wanjala Mwashuma, ambaye pia ni mgombea ubunge wa kata ya Chaani, katika kaunti ya Mombasa, alianga dunia kupitia ajali mjini Voi alipokuwa akienda nyumbani...