Kata Ya Mata: Safari ya mwisho ya aliyekuwa mjumbe wa bunge la kaunti Marehemu Nobert Chanzu Khamadi
Hali ya huzuni na majonzi ilifunika eneo la Cess, kata ya Mata, kaunti ya TaitaTaveta katika safari ya mwisho ya kumuaga aliyekuwa mjumbe wa bunge...
Matiang’i Atangaza Likizo Kakamega, Mombasa na Maeneo Mengine Yatakayo Kuwa na Uchaguzi
Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i ametangaza siku ya Jumatatu, Agosti 29 kuwa sikukuu ya kitaifa katika maeneo ambayo uchaguzi unatazamiwa kufanywa. Hii ni...
Mwanahabari wa Marekani Akosolewa Akidai Wakenya Wajawazito Hawawezi Kupiga Kura
Emily Campagno aliwashangaza Wakenya alipotoa madai ya uwongo kwamba katika nchi kama Kenya, wanawake wajawazito hawana haki ya kupiga kura. Alikuwa akilinganisha Kenya na Marekani....
Muabori : Mimi ni kioo cha jamii, na hii siwezi kunyamazia, Inasikitisha Sana
Msanii kutoka eneo la Taveta ameweza kuzamia swala nzima la ugonjwa wa ukimwi baada ya taarifa kusambaa zikionyesha kuwa vijana wadogo ndio wanaongoza kwa ugonjwa...
Bodi ya twitter kwa kauli moja imeidhinisha zabuni ya Elon Musk ya kuchukua $44B kumiliki Twitter
Ununuzi wa Elon Musk wa Twitter umeidhinishwa kwa kauli moja na bodi ya Twitter. Ripoti ya udhibitisho inaonyesha bodi hiyo iliidhinisha ununuzi siku ya Jumanne,...
Mwandishi wa habari wa Urusi anauza Tuzo la Amani la Nobel kwa dola milioni 103.5 kusaidia watoto wa Ukraine
Mwandishi wa habari wa Urusi Dmitry Muratov, ambaye pia ni mshindi wa tuzo la amani la Nobel, aliuza Tuzo lake la Amani la Nobel kwa...