Bodi ya twitter kwa kauli moja imeidhinisha zabuni ya Elon Musk ya kuchukua $44B kumiliki Twitter
Ununuzi wa Elon Musk wa Twitter umeidhinishwa kwa kauli moja na bodi ya Twitter. Ripoti ya udhibitisho inaonyesha bodi hiyo iliidhinisha ununuzi siku ya Jumanne,...
Mwandishi wa habari wa Urusi anauza Tuzo la Amani la Nobel kwa dola milioni 103.5 kusaidia watoto wa Ukraine
Mwandishi wa habari wa Urusi Dmitry Muratov, ambaye pia ni mshindi wa tuzo la amani la Nobel, aliuza Tuzo lake la Amani la Nobel kwa...
Charity Kaluki NgiluĀ ajiondoa kwa kinyang’anyiro cha ugavana katika kaunti ya Kitui
Gavana wa Kitui Charity Ngilu hatatetea kiti chake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Agosti 9. Uamuzi wa Ngilu kujiondoa katika kinyang'anyiro cha ugavana uliwekwa wazi...
MWANDISHI ALIYEANDIKA KITABU CHA JINSI YA KUMUUA MUME, AKUTWA NA HATIA YA MAUAJI YA MMEWE NA KUHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA.
Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni kuna mwamamke mmoja ambaye ni mwandishi wa kitabu chenye jina lenye maana sawa na kusema ''Jinsi ya kumuua...
Marekani italinda Taiwain dhidi ya uvamizi wa China : Joe Biden
Rais Joe Biden wa Marekani amesema taifa lake litalinda Tawaian kijeshi kama China itavamia kisiwa hicho chenye kujitawala chenyewe. Joe Biden ameonya China kuwa inachezea...
Mashua ya Injini yafikia kikundi cha Imbaria, Ziwa Chala
Mheshimiwa Fundi Saleri ambaye pia ni mwakilishi wa kauti ndogo ya Bomeni, TaitaTaveta Leo amekutana na viongozi wa kikundi cha usimamizi wa ufuo cha Imbaria...