Gavana Andrew Mwadime achaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili
wakuu wa kaunti kwa kauli moja walimchagua gavana wa TaitaTaveta, Mh. Andrew Mwadime kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili. "Napenda kuwashukuru Wakuu...
Joho Akabidhi Mamlaka Kwa Gavana Abdulswamad.
Aliyekuwa gavana wa Mombasa Hassan Joho siku ya leo alipeana mamlaka rasmi kwa mrithi wake Abdulswamad Nassir. Joho alihudumu kwa mihula miwili tangu kuchukua uongozi...
Rais William Ruto Amwongeza Inspekta Jenerali Wa polisi Mamlaka
Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto, alasiri ya Jumanne, Septemba 13, alianza kuchukua hatua kwa kupunguza mamlaka kutoka kwa Ofisi ya Rais na kumpa...
Ruto kurudisha shughuli za Bandari Mombasa
Rais William Ruto leo, Jumanne, Septemba 13 alithibitisha ahadi yake ya kurejesha shughuli za bidhaa katika bandari ya Mombasa. Akizungumza wakati wa kuapishwa kwake, Mkuu...
Gavana anayeondoka wa Mombasa Hassan Joho na Gavana Teule wa Abdullswamad Shariff Nassir wapeana haki miliki ya Ardhi kwa wakazi wa Likoni Block 203
Gavana anayeondoka wa Mombasa Hassan Joho na Gavana Teule wa Abdullswamad Shariff Nassir wapeana haki miliki ya Ardhi kwa wakazi wa Likoni Block 203 kupitia...
Wajakoya Aiomba Mahakama kumjumuisha kwa kesi ya uchaguzi
Mgombea wa kiti cha uraisi kupitia tiketi ya chama cha Roots Party, Mh Wajakoya, aiomba mahakama kumjumuisha kwa keshi ya uchaguzi inayoendelea katika mahakama ya...