Gavana anayeondoka wa Mombasa Hassan Joho na Gavana Teule wa Abdullswamad Shariff Nassir wapeana haki miliki ya Ardhi kwa wakazi wa Likoni Block 203
Gavana anayeondoka wa Mombasa Hassan Joho na Gavana Teule wa Abdullswamad Shariff Nassir wapeana haki miliki ya Ardhi kwa wakazi wa Likoni Block 203 kupitia...
Wajakoya Aiomba Mahakama kumjumuisha kwa kesi ya uchaguzi
Mgombea wa kiti cha uraisi kupitia tiketi ya chama cha Roots Party, Mh Wajakoya, aiomba mahakama kumjumuisha kwa keshi ya uchaguzi inayoendelea katika mahakama ya...
Kata Ya Mata: Safari ya mwisho ya aliyekuwa mjumbe wa bunge la kaunti Marehemu Nobert Chanzu Khamadi
Hali ya huzuni na majonzi ilifunika eneo la Cess, kata ya Mata, kaunti ya TaitaTaveta katika safari ya mwisho ya kumuaga aliyekuwa mjumbe wa bunge...
Matiang’i Atangaza Likizo Kakamega, Mombasa na Maeneo Mengine Yatakayo Kuwa na Uchaguzi
Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i ametangaza siku ya Jumatatu, Agosti 29 kuwa sikukuu ya kitaifa katika maeneo ambayo uchaguzi unatazamiwa kufanywa. Hii ni...
Mwanahabari wa Marekani Akosolewa Akidai Wakenya Wajawazito Hawawezi Kupiga Kura
Emily Campagno aliwashangaza Wakenya alipotoa madai ya uwongo kwamba katika nchi kama Kenya, wanawake wajawazito hawana haki ya kupiga kura. Alikuwa akilinganisha Kenya na Marekani....
Muabori : Mimi ni kioo cha jamii, na hii siwezi kunyamazia, Inasikitisha Sana
Msanii kutoka eneo la Taveta ameweza kuzamia swala nzima la ugonjwa wa ukimwi baada ya taarifa kusambaa zikionyesha kuwa vijana wadogo ndio wanaongoza kwa ugonjwa...