MCA Wa Mahoo Daniel Kimuyu Afanya Sherehe Ya Shukrani
Mwakilishi wa kata ya Mahoo MCA Daniel kimuyu afanya sherehe ya shukrani kwa wapiga kura wa eneo hilo. Sherehe hiyo ilifanyika eneo la Lessesia Taveta....
?????? ???? ?????? ???????????? ?????????? ????? ?? ???????? ?????
Mbunge wa Sirisia John Waluke leo alijisalimisha katika mahakama ya Milimani baada ya jaji wa maakama kuu Esther Maina kudumisha kifungo chake cha miaka 67...
Safaricom Yazindua Tawi Addis Ababa, Ethiopia
Safaricom leo, Oktoba 6, imezindua mtandao wake wa Ethiopia unaoanza kufanya kazi katika miji 11. Katika hafla iliyohudhuriwa na Rais William Ruto mjini Addis Ababa,...
Ruto Azawadi Pwani kwa kuwateua Aisha Jumwa, Salim Mvurya Kwenye Baraza Lake la Mawaziri
Rais William Ruto amemteua aliyekuwa gavana wa Kwale Salim Mvurya na aliyekuwa mbunge wa Malindi Aisha Jumwa kwenye baraza lake la mawaziri. Mvurya ambaye alihudumu...
Msemaji wa Yanga anayetumikia kifungo cha miaka miwili nje ya soka Haji Manara amefunga ndoa kwa mara ya tatu na msaidizi wake ( personal assistant ) Bi. Habibaty
Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara leo ameongeza mke mwingine wa 3 ambaye siku chache zilizopita alimtambulisha kama msaidizi wake (personal assistant) Bi. HabibatyKama...
Wavumbuzi wa miundo ya kiuchumi ya “Bottom UP” wakutana hatimaye
Rais William Samoei Ruto hatimaye alipatana na Raisi wa Marekani Joe Biden, kwenye tafrija iliyoandaliwa na Biden wakati wa Kikao cha 77 cha Baraza Kuu...