Wavumbuzi wa miundo ya kiuchumi ya “Bottom UP” wakutana hatimaye
Rais William Samoei Ruto hatimaye alipatana na Raisi wa Marekani Joe Biden, kwenye tafrija iliyoandaliwa na Biden wakati wa Kikao cha 77 cha Baraza Kuu...
Mshtakiwa achapa usingizi wa pono na kukoroma hakimu akimsomea mashtaka
Mapya yaibuka! Mdada mmoja mjini Nairobi kwa jina la Sharon Oparanya amedakwa akiendesha gari aina ya Mercedes Benz akiwa amelewa mida ya asubuhi hivyo kushindwa...
Gavana Andrew Mwadime achaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili
wakuu wa kaunti kwa kauli moja walimchagua gavana wa TaitaTaveta, Mh. Andrew Mwadime kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili. "Napenda kuwashukuru Wakuu...
Joho Akabidhi Mamlaka Kwa Gavana Abdulswamad.
Aliyekuwa gavana wa Mombasa Hassan Joho siku ya leo alipeana mamlaka rasmi kwa mrithi wake Abdulswamad Nassir. Joho alihudumu kwa mihula miwili tangu kuchukua uongozi...
Rais William Ruto Amwongeza Inspekta Jenerali Wa polisi Mamlaka
Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto, alasiri ya Jumanne, Septemba 13, alianza kuchukua hatua kwa kupunguza mamlaka kutoka kwa Ofisi ya Rais na kumpa...
Ruto kurudisha shughuli za Bandari Mombasa
Rais William Ruto leo, Jumanne, Septemba 13 alithibitisha ahadi yake ya kurejesha shughuli za bidhaa katika bandari ya Mombasa. Akizungumza wakati wa kuapishwa kwake, Mkuu...