Kizaazaa Mahakama ya Malindi baada ya mwanaume wa umri wa miaka 68 kulilia kucheleweshwa kwa haki
Kizaazaa kiliweza kushuhudiwa katika mahakama ya Malindi siku leo tare 19 Oct, baada ya mwanamume anayekabiliwa na mashtaka ya ulaghai alipoanza kupiga kelele kwa madai...
MCA Wa Mahoo Daniel Kimuyu Afanya Sherehe Ya Shukrani
Mwakilishi wa kata ya Mahoo MCA Daniel kimuyu afanya sherehe ya shukrani kwa wapiga kura wa eneo hilo. Sherehe hiyo ilifanyika eneo la Lessesia Taveta....
?????? ???? ?????? ???????????? ?????????? ????? ?? ???????? ?????
Mbunge wa Sirisia John Waluke leo alijisalimisha katika mahakama ya Milimani baada ya jaji wa maakama kuu Esther Maina kudumisha kifungo chake cha miaka 67...
Safaricom Yazindua Tawi Addis Ababa, Ethiopia
Safaricom leo, Oktoba 6, imezindua mtandao wake wa Ethiopia unaoanza kufanya kazi katika miji 11. Katika hafla iliyohudhuriwa na Rais William Ruto mjini Addis Ababa,...
Ruto Azawadi Pwani kwa kuwateua Aisha Jumwa, Salim Mvurya Kwenye Baraza Lake la Mawaziri
Rais William Ruto amemteua aliyekuwa gavana wa Kwale Salim Mvurya na aliyekuwa mbunge wa Malindi Aisha Jumwa kwenye baraza lake la mawaziri. Mvurya ambaye alihudumu...
Msemaji wa Yanga anayetumikia kifungo cha miaka miwili nje ya soka Haji Manara amefunga ndoa kwa mara ya tatu na msaidizi wake ( personal assistant ) Bi. Habibaty
Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara leo ameongeza mke mwingine wa 3 ambaye siku chache zilizopita alimtambulisha kama msaidizi wake (personal assistant) Bi. HabibatyKama...