KQ yasitisha safari za ndege kwenda UAE kutokana na kufungwa kwa anga
Shirika la ndege la Kenya Airways limesitisha safari za ndege kuelekea Dubai na Sharjah kufuatia kufungwa kwa anga ya Umoja wa Falme za Kiarabu kutokana...
Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE
Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE Shirika la habari la Al Jazeera...
Winga Bukayo Saka ameongeza mkataba wa miaka mitano kuendelea kubakia Arsenal hadi June mwaka 2031
Bukayo Saka amekubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kuendelea kubakia Arsenal hadi June mwaka 2031. Bukayo Saka sasa atalipwa mshahara wa €300000 kwa wiki
Video zinazosambaa za raia wa kigeni na wanawake wa Kenya zazua mjadala mtandaoni
Video za mtandaoni zinazoonyesha mwanamume anayeaminika kuwa raia wa kigeni akitangamana na wanawake wa Kenya zimezua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii, huku maoni yakiwa...
CAF President Addresses AFCON 2027 Clashing With Kenya Elections
Confederation of African Football (CAF) President Patrice Motsepe has assured that the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON) will not interfere with Kenya's general elections...
Thomas Frank ameachishwa kazi kama kocha mkuu wa Tottenham Hotspur.
Tottenham Hotspur wamemwondoa Thomas Frank kazi kama head coach baada ya miezi 8 tu tangu aanze kuinoa Timu iyo. Kulingana na ripoti, inasemekana Thomas Frank...