Nahodha Wa Cameroon Vincent Aboubakar Arejea Kikosini
Nahodha wa timu ya Taifa ya Cameroon, Vincent Aboubakar ameanza mazoezi katika kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon kwa ajili ya kujiandaa na mechi...
OMAR BERRADA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA WA MANCHESTER UNITED
Man Utd imemteua aliyekuwa CEO wa Man City, Omar Berrada na kumfanya kuwa mtendaji wao mkuu mpya; Berrada anamrithi Richard Arnold aliyebwaga manyanga baada ujio...
????? ???????, ???? ?????????, ????????? ?? ?????? ??? ?????? CHA BANDARI
David Wanyama, mwenye umri wa miaka 16, amepandishwa cheo kutoka Bandari Youth FC., na kujiunga na kikosi cha kwanza cha timu ya Bandari.
MCHEZAJI BORA WA LIGI KUU YA ENGLAND MWEZI WA DESEMBA
Mshambuliaji wa Bournemouth, Dominic Solanke amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu England. Solanke ameshinda tuzo hiyo baada ya kuifungia klabu yake...
MCHEZAJI BORA WA LIGI KUU YA ENGLAND MWEZI WA DESEMBA
Mshambuliaji wa Bournemouth, Dominic Solanke amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu England. Solanke ameshinda tuzo hiyo baada ya kuifungia klabu yake hiyo magoli 6 ndani ya mwezi huo. Solanke (26) alikulia kwenye shule ya vipaji ya Chelsea kati ya mwaka 2014-2017, kabla ya kujiunga na Liverpool na baadae akatimkia Bournemouth mnamo…
Gwiji wa soka wa Brazil Mario Zagallo afariki akiwa na umri wa miaka 92
BRAZIL: MARIO Zagallo, bingwa mara nne wa Kombe la Dunia akiwa mchezaji na kocha wa Brazil, amefariki akiwa na umri wa miaka 92. Mario Zagallo,...