Paolo Maldini – Tulimtaka Messi, Tukajaribu Tupate Saini Yake Lakini Tukashindwa
Mkurugenzi wa zamani wa AC, Milan Paolo Maldini, amekiri kuwa waliwahi kuwa na nia ya kumsajili Lionel Messi msimu uliopita wa joto lakini baada ya...
Argentina walipoteza mchezo wao jana dhidi ya Uruguay kwa magoli 2-0.
Argentina walipoteza mchezo wao jana dhidi ya Uruguay kwa magoli 2-0. Hii ndo mechi waliyopoteza tangu walipofungwa na Saudi Arabia kwenye mechi ya kwanza kwenye...
Simba Queens Yapata saini ya winga Diakiese Isabelle kutoka klabu ya Feminin Espoir kwa mkataba wa miaka miwili.
Timu ya Simba Queens imefanikiwa kupata saini ya winga Diakiese Isabelle kutoka klabu ya Feminin Espoir kwa mkataba wa miaka miwili. Diakiese raia wa DRC...
Mamelodi wabeba Ubingwa African Football League
Klabu ya Afrika Kusini, Mamelodi Sundowns, imetwaa ubingwa wa kombe la Afrika ‘AFL’ kufuatia ushindi wa jumla wa 3-2 dhidi ya klabu ya Wydad Casablanca...
Man United Yawinda Kumsajili Mshambuliaji Wa PSG Kylian Mbappe
Man United ni miongoni mwa timu za Ligi ya Premia zinazomfuatilia Kylian Mbappe baada ya mabadiliko ya hivi punde katika mbio za kuwania saini yake. Ripoti kutoka...
SIMBA YAMFUKUZA KAZI KOCHA ROBERTINHO, KISA 5G ZA YANGA SC
Klabu ya ligi kuu ya soka nchini Tanzania, Simba SC, imemtimua kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho) siku mbili tu baada ya...