RASMI IBRAAH AMEMALIZANA NA KONDEGANG
Rasmi sasa Chinga @ibraah_tz amemalizana na lebo aliyokuwa akifanya nayo kazi Konde Music Worldwide baada ya makubaliano yaliyofikiwa kati yake,lebo hiyo na Baraza la Sanaa...
Gospel Musician Ringtone To Spend Weekend In Custody
Kenyan gospel artiste Alex Nyanchonga Apoko, popularly known as Ringtone, has been remanded after a Nairobi court denied him bail in connection with a Ksh50...
NGOMA YA “GOD DESIGN” YA JUX YATIKISA TRENDING NO: 1 NIGERIA
Siku tano tu tangu atoe wimbo wake mpya God Design akiwa amemshirikisha rapa kutoka Nigeria, Phyno, msanii wa Tanzania Jux ameandika historia mpya katika muziki...
Masharti Ya Aziz K Kutumikia Timu Ya Taifa. Yote Kwa Ajili Ya Hamisa.
Kwa mujibu wa Magazeti Nchini Burkina Faso ??, Aziz K alitoa sharti la kusafiri na Mke wake Hamisa Mobeto kwenda kuitumikia Timu ya Taifa (Les...
JAYDEE AKATAA KUCHAPA!
Mwanamuziki Lady Jaydee ametaja mambo mawili yanayomfanya aendelee kuonekana binti licha ya kufikisha umri wa miaka 45. Lady Jaydee amesema kwanza yeye huwa halii kabisa...
Aliyependekeza Jina La Tanzania Aaga Dunia
Mohamed Iqbal Dar, aliyependekeza jina la Tanzania katika shindano la kutafuta jina la taifa mwaka 1964, ameaga dunia akiwa usingizini jijini Birmingham, Uingereza, alikokuwa akiishi....