Wakaazi wa Mkocheni, Taveta wabaki bila Makao
Zaidi ya wakazi 300 wa Mkocheni eneo bunge la Taveta kaunti ya Taita Taveta wamejipata bila makao baada ya nyumba zao kubolewa usiku wa kuamka...
Derby ya mashindano ya ngamia yafanyika mombasa
Mamia ya wakazi na wageni walimiminika kushuhudia mashindano ya mbio za ngamia ambayo yaliwavutia watalii wa ndani na nje ya nchi. Tamasha hilo la kupendeza...
Fukwe Zote za Umma Mombasa Zimefungwa
Fuo zote za umma jijini Mombasa zitafungwa kufuatia agizo la Gavana wa Mombasa Abdulswamad Sherrif Nassir.Kupitia taarifa iliyotolewa Ijumaa, Mei 23, Nassir aliamuru kufungwa kwa...
BAADHI YA WATU WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI ILIYOHUSISHA GARI LA NAEKANA
Habari za kuhuzinisha baada ya baadhi ya watu kupoteza maisha katika ajali iliyotokea eneo la Malili katika barabara kuu ya Nairobi Mombasa. Gari hilo la...
Mombasa Yakumbwa na Tetemeko Kuu la Ardhi
Kenya ilikumbwa na tetemeko la ardhi la wastani siku ya Jumapili, na kusajili ukubwa wa 4.5 karibu na miji yake ya pwani na jiji la...
Wito Wa Umoja Kushughulikia Ongezeko la Uhalifu Wa Watoto Huko Likoni
Viongozi wa kidini watoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kuzuia kuzuka kwa magenge ya vijana wanaofanya vurugu katika Kaunti Ndogo ya Likoni.Rufaa za...