Mwanasoka nguli wa Man Utd na Scotland Dennis Law afariki akiwa na umri wa miaka 84
Mshambuliaji Nguli wa zamani wa zamani wa Manchester United timu ya Taifa ya Scotland, Dennis Law amefariki Dunia leo Januari 17, 2025 akiwa na umri...
UGOMVI WA MESSI, NEYMAR NA MBAPPE ULIKUWA WIVU TU
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Brazil Neymar ameweka wazi kwa nini ushirikiano wa nyota watatu – yeye, Kylian Mbappe, na Lionel Messi haukufaulu kama...
Cristiano Ronaldo Anunua Private Jet Mpya Yenye Thamani ya Dola Milion 75
Nyota wa soka, Cristiano Ronaldo, amenunua ndege mpya ya kibinafsi yenye thamani ya $75 milioni sawa na Tsh Bilioni 187.6, ikimuwezesha kusafiri kwa staili ya...
Cristiano Kuweka Rekodi Ya Mkataba Mpya Uraibuni
Cristiano Ronaldo yuko mbioni kusaini mkataba mnono mpya ambao utamfanya kuwa mwanasoka anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani. Al-Nassri inayoshiriki Saudi Pro League imetajwa kumpatia Cr7...
Finali Ya Wakili Bwire Tournament Jumanne
Hatimaye tournament ya wakili Bwire Msimu wa 2024 itafikia mwisho pale msindi atapatikana kati ya Chala FC na Majengo FC. Mechi zitaanza kwa kutafuta mshindi...
Wasiwasi Wa Man City Kukosa Ligi Ya Mabingwa Msimu Ujao
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola anasema klabu hiyo iko katika hatari ya kukosa nafasi ya kushiriki katika Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao. City...