Badminton Kenya yatuma timu mbili kwa michuano ya bara, ya kimataifa
Timu ya Badminton Kenya imetuma timu mbili za kitaifa kuwakilisha nchi katika mashindano makubwa ya kimataifa yanayotarajiwa kufanyika wiki hii nchini Botswana na Bahrain.Timu ya...
OFFICIAL TUZO ZA AFCON
1. Sadio Mane - Mchezaji bora wa AFCON 2025 2. Yassine Bounou - Golikipa bora wa AFCON 2025 3. Brahim Diaz - Mfungaji bora wa...
Harambee Starlets ya Kenya yatua katika kundi gumu la WAFCON
Kenya Harambee Starlets imepangwa katika Kundi A la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 kufuatia droo rasmi iliyofanyika Alhamisi, Januari 15, 2026,...
Neymar Afunga Hat-Trick Kuokoa Klabu iliyomlea!
Katika kiwango cha juu kabisa, Neymar amefunga hat-trick ya kuvutia na kuibeba Santos katika kipindi kigumu zaidi cha msimu. Ushindi huo muhimu umeweka klabu pointi...
Kenya Police FC wameripoti Al Hilal SC kwa CAF
Kenya Police FC wameripoti Al Hilal SC kwa CAF, wakidai miamba hao wa Sudan waliwatumia wachezaji watatu wasiostahili wakati wa mchuano wao wa awali! Upande...
Cha Matasi Bado Kimotoni
Mahakama Kuu ya Kakamega imeipa FKF ruhusa kuendelea na mchakato wa kinidhamu dhidi ya kipa wa zamani Patrick Matasi, baada ya kutupilia mbali kesi aliyowasilisha...