B Classic Arejea Na Melody Ya Tipsy – “I Like It”
Msanii B Classic amerudi tena na ngoma mpya ya "I Like It" wakati huu akiwa tipsy na melody za mapenzi. Hii ni baada ya kupotea...
NGOMA YA “GOD DESIGN” YA JUX YATIKISA TRENDING NO: 1 NIGERIA
Siku tano tu tangu atoe wimbo wake mpya God Design akiwa amemshirikisha rapa kutoka Nigeria, Phyno, msanii wa Tanzania Jux ameandika historia mpya katika muziki...
Nandy Aachana Na Yammy
Nandy amethibitisha ya kuwa Yammy hatokuwa tena msanii wake chini ya Label ya THE AFRICAN PRINCES kwa makubaliano ya Kirafiki baina ya pande mbili ....
Masharti Ya Aziz K Kutumikia Timu Ya Taifa. Yote Kwa Ajili Ya Hamisa.
Kwa mujibu wa Magazeti Nchini Burkina Faso ??, Aziz K alitoa sharti la kusafiri na Mke wake Hamisa Mobeto kwenda kuitumikia Timu ya Taifa (Les...
JAYDEE AKATAA KUCHAPA!
Mwanamuziki Lady Jaydee ametaja mambo mawili yanayomfanya aendelee kuonekana binti licha ya kufikisha umri wa miaka 45. Lady Jaydee amesema kwanza yeye huwa halii kabisa...
Aliyependekeza Jina La Tanzania Aaga Dunia
Mohamed Iqbal Dar, aliyependekeza jina la Tanzania katika shindano la kutafuta jina la taifa mwaka 1964, ameaga dunia akiwa usingizini jijini Birmingham, Uingereza, alikokuwa akiishi....