Raila’s vocal supporter Nuru Okanga speaks after finishing KCPE exams
Azimio leader Raila Odinga's die hard supporter, Nuru Okanga, has spoken after finishing his Kenya Certificate of Primary Education examinations. Okanga was among the KCPE...
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa mastaa wakubwa kutoka ukanda wa Pwani. Muziki wake Kadzo, Maria, na Bembea miongoni mwa wengine utahifadhi kumbukumbu za nguli huyo . Mwanamuziki huyo anayeishi Pwani aliaga dunia Jumatano, Novemba 1.…
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa mastaa wakubwa kutoka ukanda wa Pwani. Muziki wake Kadzo, Maria, na Bembea miongoni mwa wengine utahifadhi kumbukumbu za nguli huyo . Mwanamuziki huyo anayeishi Pwani aliaga dunia Jumatano, Novemba 1.…
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa mastaa wakubwa kutoka ukanda wa Pwani. Muziki wake Kadzo, Maria, na Bembea miongoni mwa wengine utahifadhi kumbukumbu za nguli huyo . Mwanamuziki huyo anayeishi Pwani aliaga dunia Jumatano, Novemba 1.…
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa...
MITIHANI YA KCPE NA KPSEA IMETAMATIKA.
Mitihani ya kitaifa la darasa la nane na KPSEA imekamilika leo Kote nchini katika shule za msingi huku ikiwa imeashiria miaka 38 Katika mitihani ya KCPE. Mwaka huu ndio ulikuwa mtihani wa mwisho wa mwaka wa enzi ambapo nchi inajiandaa kuhamia katika mfumo wa CBC ambayo imesifiwa kama mfumo unaolenga kuunda njia zaidi na wanafunzi…