Israel yatangaza kumuuwa waziri wa Ulinzi wa Iran

Share this story

Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel usiku kucha, akisema IDF (Israel Defense Forces) ililenga na kumaliza maisha yake.

Hadi sasa, Iran haijatoa uthibitisho wa uhakika kuhusu kifo chake, na taarifa kutoka Tehran kuhusu hali yake bado hazijathibitishwa rasmi.

Wakati huo huo pia kumetolewa taarifa kwamba jeshi la Israel limewaua viongozi wengine wa ngazi ya juu wa usalama wa Iran katika mashambulizi hayo.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Harambee Stars recruitment mission in England
Next post Kenya is facing a high risk of losing its rights to co-host the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON)