Mahakama Kuu yaamuru serikali kumlipa aliyekuwa Mbunge Basil Criticos Ksh.30M kwa ukiukaji wa haki za kumiliki mali
Mahakama Kuu imeamuru serikali kumlipa aliyekuwa Mbunge wa Taita-Taveta Basil Criticos jumla ya Ksh.30 milioni kwa kukiuka haki yake ya kikatiba ya kumiliki mali. Katika...
Iran yathibitisha kifo cha kiongozi mkuu Ayatollah Ali Khamenei
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameripotiwa kufariki dunia, kwa mujibu wa madai ya maofisa kadhaa wa Israel. Inadaiwa mwili wake ulipatikana chini ya...
KQ yasitisha safari za ndege kwenda UAE kutokana na kufungwa kwa anga
Shirika la ndege la Kenya Airways limesitisha safari za ndege kuelekea Dubai na Sharjah kufuatia kufungwa kwa anga ya Umoja wa Falme za Kiarabu kutokana...
Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE
Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE Shirika la habari la Al Jazeera...
Video zinazosambaa za raia wa kigeni na wanawake wa Kenya zazua mjadala mtandaoni
Video za mtandaoni zinazoonyesha mwanamume anayeaminika kuwa raia wa kigeni akitangamana na wanawake wa Kenya zimezua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii, huku maoni yakiwa...
Seneti kurejea vikao baada ya mapumziko ya muda mrefu ya Krismasi
Bunge la Seneti sasa linatazamiwa kurejea vikao vyake vya kawaida baada ya mapumziko marefu ya Krismasi. Kulingana na chapisho lililoshirikiwa na Seneti kwenye akaunti zao...