Sheria Mpya Nne zitakazotumika kombe la Dunia
1. Mchezaji akifanyiwa mabadiliko anatakiwa atumie Sekunde 10 tu awe tayari ametoka Njee akizidisha hata sekunde 1 itamalzimu Mchezaji anayeiingia Kusubiri Njee angalau dakika 1 ndio ataingia.
2. Ikiwa Mchezaji kaumia na anaitaji matibabu atatakiwa kutolewa Uwanjani kwa dakika 1 akizidisha timu yake ikapewa adhabu.
3. Ikiwa Mwamuzi ataona muda unapoteza kwenye mpira wa kona au mpira wa kurusha kwa zaidi ya Sekunde 5 Mwamuzi ataamua Timu Pinzani kupewa Faida ya kutumia Nafasi hiyo.
4. VAR Itatumika kuangalia kadi ya Njano ya Pili na Mpira wa Kona