Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE

Share this story

Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE Shirika la habari la Al Jazeera limeripoti

Wakati huo huo shirika la habari la Marekani Fox News limeripoti kwamba Marekani na Israel zimegawana mpango kazi katika vita dhidi ya Iran ambapo Israel inalenga watawala wakati Marekani inalenga miundombinu ya kimkakati

Iran imefanikiwa kulenga kambi ya Marekani iliyoko nchini Bahrain wakati Marekani na Israel zikiendelea na operesheni kali za anga ndani ya Iran

Saudi Arabia ni mshirika mkubwa wa Marekani miongoni mwa mataifa ya kiarabu na Marekani ina makambi makubwa nchini humo pia


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Easy Coach Founder Azym Dossa has died.
Next post US and Israel Launch ‘Major Combat Operations’ Against Iran