Janet Mwawasi Oben Achaguliwa Kuwa Balozi Wa Kigali, Rwanda
Raisi William Ruto amchagua, Janet Mwawasi Oben, kuwa balozi wa kijali Rwanda katika mabadiliko ya serikali yalifanyika. Wateule hao watahojiwa Bungeni, na baada ya kuidhinishwana,...
Samwel Mailu Win Bronze Medal in the men’s half marathon
Sebastian Kimaru Sawe leads a Kenyan podium sweep in the men's half marathon, finishing ahead of Daniel Ebenyo and Samuel Mailu Sebastien Sawe leads Kenya...
Tavevo launch Maji App Aim At Digitizing Services
Tavevo has launch Maji App aimed at digitalizing services through linking users to various services offered by Tavevo Water And Sewerage Company Limited. Through the...
Aliyekuwa gavana Samboja arudi kijijini kusema ‘asante’ kwa kura 5
Aliyekuwa Gavana wa Taita Taveta Granton Samboja amerejea wadi moja Taitataveta kusema asante kwa kura chache alizopata kwenye uchaguzi wa Agosti 9. Imebainika kuwa alipata...
Watu 12 wafariki katika ajali mbaya ya barabarani Voi
Takriban watu 12 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha lori aina ya Nissan katika eneo la Ndii huko Voi, Kaunti ya Taita Taveta....