Marekani yasitisha chanjo ya chikungunya baada ya ripoti za madhara makubwa
Marekani imesitisha leseni ya chanjo ya Ixchiq dhidi ya virusi vya chikungunya kufuatia ripoti za madhara makubwa.Katika taarifa yake siku ya Jumatatu, Valneva, kampuni ya...
“Rayvanny Hatoweza Kumpata Mwanamke Bora Kama Mimi” ~Fayhma.
Mrembo Fayhma ameshindwa kujizuia kutoa ya moyoni baada ya kubwagana na mpenzi wake na baba mtoto wake ambaye ni msanii Rayvanny. Fayhma ameandika ujumbe unaosomeka...
Harambee Stars captain Abud Omar has responded after a Murang’a Seal player, Victor Haki, celebrated Kenya’s loss
Harambee Stars captain Abud Omar has responded after a Murang’a Seal player, Victor Haki, celebrated Kenya’s loss to Madagascar at Kasarani Stadium. Omar termed the...
Ugomvi wa Diamond Platnumz na Mbosso Wazidi Kuongezeka Mitandaoni
Diamond Platnumz aliweka hadharani kwenye Instagram Stories, akisema hajawahi kutaka suala hilo na Mbosso kucheza mtandaoni. Alidai kuwa alimpigia simu na kumtumia ujumbe Mbosso faraghani,...
Shabiki wa Liverpool Apigwa Marufuku Ya Uwanja Kisa Ubaguzi Wa Rangi
Mwanaume aliyekamatwa kwa tuhuma za kumtolea maneno ya kibaguzi Antoine Semenyo amepigwa marufuku kuingia kwenye viwanja vyote vya soka nchini Uingereza kama sehemu ya masharti...
RASMI : Jack Grealish Atua Everton
Everton wamemtambulisha Jack Grealish kama mchezaji wao mpya akijiunga kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu. Mkataba huo pia unajumuisha kipengele cha kumnunua mchezaji huyo...