Mason Greenwood amethibitisha kuwa ataondoka Man United baada ya uchunguzi wa ndani ya klabu kukamilika na klabu kuamua.
Manchester United imetangaza kuwa Mason Greenwood ataondoka katika klabu hiyo kufuatia uchunguzi wa ndani kuhusu madai ya jaribio la ubakaji, kudhibiti na kulazimisha tabia na...
Kibet Aldrine Kipchirchir wa St Anthony Boy’s Kitale kujiunga na Nastic Sports Academy huko Barcelona, Uhispania.
Amos Emmanuel Wanjala (beki wa kati) na Kibet Aldrine Kipchirchir wanaelekea Nastic Soccer Academy (NAS) mjini Tarragona, Uhispania. Alvin Kirigano Kasavuli (katikati ya 8/10) anajiunga...
Mkuu wa shirikisho la soka la Uhispania Rubiales alikosolewa kwa kumbusu mchezaji Jenni Hermoso
Kashfa yalipuka nchini Hispania kwa sababu rais wa shirikisho la soka la Hispania, Luis Rubiales, alimbusu mshambuliaji wa Uhispania Jenni Hermoso wakati wakijipongeza baada ya...
Alvin Ngoto Mshambulizi wa Mwatate FC Almaarufu kama Mentai ajiunga na Bandari FC.
Mshambulizi wa Mwatate United FC Alvin Ngoto almaarufu Mentai amesaini mkataba wa miaka miwili na Bandari FC.Mshambulizi huyo hatari alifunga mabao 17 katika msimu uliopita...
Karim Mandonga Apokea Makonde Kutoka Kwa Daniel Wanyonyi Katika Marudio Ya Ndondi Jijini Nairobi
Mkenya Daniel Wanyonyi alimshinda Mtanzania Karim Mandonga katika pambano lao la marudiano la ndondi lililofanyika jijini Nairobi hapo jana. Wanyonyi mwenye umri wa miaka 40,...