Malema Ahukumiwa Jela Miaka Mitano

Share this story

Mwanasiasa wa upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kumiliki bunduki kinyume cha sheria na kufyatua risasi hadharani.

Mwaka 2018 Malema alinaswa kwenye video akifyatua risasi hewani wakati wa maadhimisho ya miaka mitano ya chama cha ‘Economic Freedom Fighters,’ ambapo amedai alikuwa anachangamsha wafuasi.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Mimi Mars Afunguka Sababu za Kuachana na Uigizaji na Kujikita Kwenye Muziki
Next post Catholic Bishops Call for Urgent Review of CBE Rollout