Teachers Threatens To Strike Over Delayed School Capitation
Kenya National Union of Teachers (KNUT) has reiterated it will call for a National strike should the Government not heed their calls of releasing the...
“Raundi Hii Siongei Na Mtu” Viongozi Wa ODM Wa Pwani Wamwidhinisha Joho Kuwa Rais 2027
Aliyekuwa Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho amesema hatamsikiliza yeyote anayemshauri kusitiza azma yake ya urais. Joho alisema kuna wanachama wenzake wa chama cha ODM...
WAKAAZI WA WADI 30 KAUNTI YA MOMBASA KUFAIDI VYANDARUA ZA MBU
Ili kuimarisha vita dhidi ya kuenea kwa Malaria, gavana wa Mombasa Nasir akiwa na afisa WA kutoka kwa KEMSA, Andrew Mulwa, walizindua shehena ya vyandarua...
Mchekeshaji wa Tanzania Aliyetamba Kenya Kwa Msemo Wa ‘Kata Simu Tupo Site’ Afariki Dunia
Msanii mkongwe wa vichekesho nchini Tanzania Umar Iahbedi Issa, almaarufu Mzee Mjegeje, ambaye anatambulika mitandaoni nchini Kenya kwa kauli mbiu yake ya 'Kata simu tupo...
Gavana Wakujaa Atofautiana Na Serikali Kuu, Tatizo Ufungaji Wa Baa Katika Kaunti Yake.
Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime ametofautiana na serikali kuu kuhusu hatua ya kufunga baa katika kaunti yake. Kulingana na gavana huyo, Serikali ya Kitaifa...