Wasiwasi kuhusu viwanja maafisa wa CAF wakianza ziara Jumatano
Wasiwasi umejaa Kenya kuwa huenda ikapoteza nafasi ya kuandaa michuano ya CHAN mwaka ujao kutokana na uzembe wa ujenzi kwenye viwanja vilivyopendekezwa kwa mechi hizo...
MENA: UKIKOSA PESA HUWEZI KUWA NA MIMI
Baby mama wa mchekeshaji/mchungaji mahili hapa nchini Mc Pilipili ameonyesha kukasilishwa vilivyo na wanaume wasiokuwa na pesa na kudai endapo mwanaume akafilisika mikononi mwake hawezi...
Tanzania Morocco imepangwa Kundi C pamoja na mabingwa watetezi
TIMU ya Taifa ya Soka ya Tanzania - Taifa Stars, imelifanya taifa zima la Tanzania kujivunia kufuzu kushiriki Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika...
Ronaldo Nazario De Lima Kugombea uraisi katika shirikisho la mpira wa miguu nchini humo CBF.
Lejendari wa soka nchini Brazil Ronaldo Nazario De Lima ameweka wazi rasmi kuwa atagombea uraisi katika shirikisho la mpira wa miguu nchini humo CBF. De...
MAREKANI:Donald Trump Ashinda Uchaguzi Marekani
Donald Trump amemshinda kiti cha uraisi katika uchaguzi wa urais wa 2024 Marekani, hatua ambayo inampa muhula wa pili na kubadili rekodi iliyowekwa na Grover...
EQUITORIAL GUNIEA : BOSI KATIKA KASHFA KUU YA NGONO, ADAIWA KUFANYA NGONO NA DADA YA RAIS, MKE WA KAKAKE, WAKE WA MAWAZIRI NA WENGINE.
EQUITORIAL GUNIEA : BOSI KATIKA KASHFA KUU YA NGONO, ADAIWA KUFANYA NGONO NA DADA YA RAIS, MKE WA KAKAKE, WAKE WA MAWAZIRI NA WENGINE. Baltasar...