Hussein Mohammed atawania kiti cha urais cha FKF huku McDonald Mariga akiwa mgombea mwenza wake!
Kiungo wa kati wa zamani wa Inter Milan na Timu ya Taifa ya Kenya, McDonald Mariga, anatarajia kutangazwa rasmi leo Ijumaa kama mgombea mwenza wa...
Imam Khamenei alimtunuku “Nishani ya Fath” Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh, kamanda wa Kikosi cha Wanaanga wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Leo kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khemenei amemvisha nishani ya heshima kamanda mkuu wa jeshi la anga la nchi hiyo Brigedia Jenerali Amir Ali...
B Classic Apoteza Umiliki Wa YouTube Channel Kwa Management
Msanii Dennis Manja, jina la stage B Classic kwa mara nyingine tena amepoteza umiliki wa YouTube channel yake, ikichukuliwa na management. Msanii huyo kwa mara...
Naibu Rais, Rigathi Gachagua amekana madai ya kumtaka Rais William Ruto kumpa Ksh. Bilioni 8
Naibu Rais, Rigathi Gachagua amekana madai ya kumtaka Rais William Ruto kumpa Ksh. Bilioni 8 (takriban Tsh. Bilioni 168) ili akubali kuachia nafasi hiyo kutokana...
Newcastle Yagomea Man City Kwa Sare Ya 1-1
Man City imeshindwa kupata ushindi kwenye mchezo wake wa pili mfululizo wa Ligi kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Newcastle United katika dimba la...
Al Ahly SC ya Misri Imetinga Hatua Ya Makundi ya Ligi Ya Mabingwa Africa
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri imetinga hatua ya makundi ya Ligi hiyo kufuatia ushindi wa jumla wa 6-0 dhidi...