Matasi Kutoshiriki Mpira Siku 90 Baadae Ya Kufungiwa Na FKF

Share this story

Shirikisho la soka la nchini Kenya (FKF) limemsimamisha Golikipa namba moja wa Taifa hilo na Tusker FC Patrick Matasi kwa muda wa siku 90 kutokushiriki mashindano yoyote yanayoidhinishwa na FKF.

Hatua hii imechukuliwa kufuatia video zinazosambaa mitandaoni zikimwonyesha golikipa huyo akijadili juu ya upangaji wa matokeo katika mechi alizosimama langoni.

Shirikisho la soka nchini Kenya FKF linashirikiana na FIFA na CAF ili kufuatilia kwa kina suala hili.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Arsenal women’s beats Real Madrid to qualify for UCL semi finals
Next post Mateso Ya Msika Bendera, Rodriguez Moreno