Kipa Emiliano Martinez Ashinda Tena Golikipa Bora wa Dunia
Golikipa wa klabu ya Aston Villa raia wa Argentina, Emiliano Martinez (32) ameshinda tena tuzo ya Golikipa bora wa Dunia katika sherehe za ugawaji wa...
Libya Wanyang’anywa Pointi 3 Kufuzu AFCON Kisa Kuwatelekeza Wanigeria Airport
Shirikisho la Soka la Libya limeamriwa kulipa faini ya TZS milioni 136.3 baada ya kuwatendea visivyo timu ya taifa ya Nigeria (Super Eagles) walipowasili nchini...
Man United Kama Kawaida Yao, Wamepigwa Chelsea Shangwe, Arsenal Draw
Mashetani Wekundu wamepigika tena huku kocha , Eric Ten Hag akiendelea kukalia โkuti kavuโ wakati Chelsea ikiitandika Newcastle United 2-1 katika dimba la Stamford Bridge....
Mama wa Mwanamuziki Mheshimiwa Temba Afariki Dunia
Mama mzazi wa Msanii Mh. Temba amefariki dunia leo Oktoba 25, 2024 ambapo Msanii huyo amethibitisha kupitia ukurasa wake wa kijamii. Kupitia Ukurasa wake wa...
EACC imewakamata maafisa 4 Taita Taveta
Ofisi ya mwongoza mashtaka ya DPP ameidhinisha mashtaka ya ufisadi dhidi ya maafisa wanne wa Kaunti ya Taita Taveta akiwemo mshauri wa masuala ya kiuchumi...
Idris Elba Afunguka Tena Nia Yake ya Kuja Kuishi Afrika
Mwigizaji nyota wa Filamu, Idris Elba amesema anatarajia kuhamia Afrika katika kipindi cha Miaka 10 ijayo na huenda akaishi katika maeneo ya Zanzibar, Accra nchini...