Alvin Ngoto Mshambulizi wa Mwatate FC Almaarufu kama Mentai ajiunga na Bandari FC.
Mshambulizi wa Mwatate United FC Alvin Ngoto almaarufu Mentai amesaini mkataba wa miaka miwili na Bandari FC.Mshambulizi huyo hatari alifunga mabao 17 katika msimu uliopita...
Jinsi Wasanii walivyopokea Mirabaha nchini Tanzania
Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) imegawa mirabaha kwa wasanii nchini, hawa ni wasanii wa Bongofleva waliopata fedha nyingi zaidi. Kuanzia mwakani mirabaha itakusanywa na wasanii...
Karim Mandonga Apokea Makonde Kutoka Kwa Daniel Wanyonyi Katika Marudio Ya Ndondi Jijini Nairobi
Mkenya Daniel Wanyonyi alimshinda Mtanzania Karim Mandonga katika pambano lao la marudiano la ndondi lililofanyika jijini Nairobi hapo jana. Wanyonyi mwenye umri wa miaka 40,...
Romano: Pierre Aubameyang atajiunga na Olympique Marseille kwa mkataba wa bure kutoka Chelsea, imekubaliwa
Pierre Aubameyang atajiunga na Olympique Marseille kwa mkataba wa bure kutoka Chelsea, imekubaliwa Auba atasaini mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2026 - Chelsea ilimruhusu...
Mary Wanyonyi aapishwa katika tume ya ugavi wa raslimali.
Mary Wanyonyi alikula kiapo cha kazi mbele ya Jaji Mkuu Martha Kome katika mahakama ya upeo, Wanyonyi, kama mwenye kiti katika tume ya ugavi wa...
Ombaomba tajiri zaidi duniani Bharat Jain ana thamani ya Sh184,405,062.40.
Mwanaume mmoja huko nchini India, Bharat Jain, amejipatia dola 890,708 kwa kuhangaika mitaani. Sasa anaitwa "Ombaomba Tajiri Zaidi Duniani" Licha ya mwanzo wake duni, Bharat...