Msemaji wa Yanga anayetumikia kifungo cha miaka miwili nje ya soka Haji Manara amefunga ndoa kwa mara ya tatu na msaidizi wake ( personal assistant ) Bi. Habibaty
Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara leo ameongeza mke mwingine wa 3 ambaye siku chache zilizopita alimtambulisha kama msaidizi wake (personal assistant) Bi. HabibatyKama...
Wavumbuzi wa miundo ya kiuchumi ya “Bottom UP” wakutana hatimaye
Rais William Samoei Ruto hatimaye alipatana na Raisi wa Marekani Joe Biden, kwenye tafrija iliyoandaliwa na Biden wakati wa Kikao cha 77 cha Baraza Kuu...
Mshtakiwa achapa usingizi wa pono na kukoroma hakimu akimsomea mashtaka
Mapya yaibuka! Mdada mmoja mjini Nairobi kwa jina la Sharon Oparanya amedakwa akiendesha gari aina ya Mercedes Benz akiwa amelewa mida ya asubuhi hivyo kushindwa...
Gavana Andrew Mwadime achaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili
wakuu wa kaunti kwa kauli moja walimchagua gavana wa TaitaTaveta, Mh. Andrew Mwadime kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili. "Napenda kuwashukuru Wakuu...
Viongozi wa UDA Taveta waongoza sherehe ya kusherekea ushindi wa Ruto
Viongozi wa UDA na mashabiki wa muungano wa UDA siku ya leo tarehe 17 mosi, waliongoza sherehe ya kusherekea ushindi wa Wiliam Ruto kama raisi...
Joho Akabidhi Mamlaka Kwa Gavana Abdulswamad.
Aliyekuwa gavana wa Mombasa Hassan Joho siku ya leo alipeana mamlaka rasmi kwa mrithi wake Abdulswamad Nassir. Joho alihudumu kwa mihula miwili tangu kuchukua uongozi...