Mwatate-Afueni Kwa Wazazi Wa Shule Ya Kenyatta
Ni afueni kwa wazazi na wanafunzi wa shule ya upili ya Kenyatta baada ya Mbunge wa eneo hilo Mhe. Peter Shake alipowakabidhi magodoro na Mashuka...
Mwadime Afanya Mkutano Na Washikadau Kuhusu Uchimbaji Wa Madini
Gavana wa TaitaTaveta, Mh. Andrew Mwadime amefanya mazungumzo na Shirika la Ushirikiano na Uratibu la Uturuki(TIKA), Oxfam nchini Kenya na maafisa wa Muungano wa Wanawake...
Jumuiya ya kaunti za Pwani : Magavana wakutana
Magavana wa pwani tarehe 25, Octoba waliungana eneo la pwani kwa ufunguzi rasmi wa Jengo la Ofisi ya Sekretarieti ya Go Blue JKP huko Nyali,...
???????? ?? ??????, ??????? ??í? ???á??? ?? ???? .
Ni mwanasoka wa kulipwa aliyestaafu ambaye alicheza kama mshambuliaji akijulikana sana katika mpira wa kombe la duniaAnachukuliwa kuwa mmoja wa wachezaji bora wa wakati wote....
Waziri mkuu wa Uingereza Liz Truss ajiuzulu baada ya wiki sita madarakani
Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss ajiuzulu ghafla baada ya wiki sita za msukosuko, na kumfanya kuwa waziri mkuu aliyekaa muda mfupi zaidi katika historia...
SCALLY MUSIQ FT MLOLE CLASSIC : HATUKAI SANA BONGE LA NGIMA “PULIZA” IWAKE
Haya ndio maneno msanii Mlole Classic aliyoandika kupitia ukurasa wake wa facebook akiashiria kufanya kazi na Msanii Scally Music kwa Wimbo "Puliza" "HATUKAI SANA BONGE...