Stefan Ortega amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi ya Ligi Kuu kati ya Tottenham dhidi ya Manchester City
Stefan Ortega amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi ya Ligi Kuu kati ya Tottenham dhidi ya Manchester City Stefan Ortega sasa ameokoa michomo 11 kati...
Man City Kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ikiwa imesalia na mchezo mmoja kuchezwa
Kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ikiwa imesalia na mchezo mmoja kuchezwa Dakika ya 86 Mchezaji wa Tottenham Hotspur Son alikosa nafasi ya Wazi ambayo...
Jadon Sancho ndiye mchezaji wa kwanza wa Man United kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa tangu 2011
Jadon Sancho ndiye mchezaji pekee wa Premier League katika fainali za Ligi ya Mabingwa Winga wa Manchester United Jadon Sancho amekuwa mchezaji wa kwanza anaemilikiwa...
5 Chungu Za Arsenal Wazitema Chelsea Dhidi Ya West Ham
Hatimaye Chelsea wameweza kutoa machungu yao dhidi ya klabu ya West Ham baada ya kuwacharaza mabao 5 nunge. Star wa Chelsea Cole Palmer alifungua ukurasa...
Uingereza Kwachacha! Arsenal, Man City Wanusia Kombe
Kinyang'anyiro cha kuwania taji la Premier League kinaelekea ukingoni huku ikiwa nguzu zaidi kwa watabiri wa mpira wa kandanda kubaini washindi kati ya Arsenal, Manchester...
Mamelodi Sundowns Wafuzu Kwa Nusu Fainali Ya CAF Baada Ya Kuibwaga Yanga SC [3] 0-0 [2]
Young Africans wameondolewa kwenye michuano ya CAF Champions League. Mamelodi Sundowns wamefuzu kwa Nusu Fainali. Mamelodi Sundowns yatinga nusu fainali ya michuano ya Caf Champions...