“WWE” Kuandaa Pambano Kati ya nyota wa klabu ya Al Nassr Cristiano Ronaldo dhidi ya John Cena
Kampuni inayojihusisha na michezo ya mieleka duniani maarufu kama "WWE" ina mpango wa kuandaa pambano kati ya nyota wa klabu ya Al Nassr Cristiano Ronaldo...
Nay Wa Mitego Afungiwa Shows Na BASATA
Msanii wa Hip hop nchini Tanzania, Emmanuel Elibarick maarufu kama Nay wa Mitego, amelalamika kunyimwa kibali na Basata cha kufanya show yake Makambako akitaja sababu...
PICHA: Karim Mandonga yamemkuta tena.. Apigwa TKO raundi ya Tatu na Moses Golola kutoka Uganda.
PICHA HISANI YA AZAM PICHA HISANI YA AZAM
ROMA NAYE AMKATAA NAY WA MITEGO.
Baada ya Nay wa Mitego kudai kwamba wimbo wake mpya wa "Amkeni" ambao umezua gumzo baada ya kuleta utata kwamba aliyemtumia wimbo huo ni Roma...
Alvin Ngoto Mshambulizi wa Mwatate FC Almaarufu kama Mentai ajiunga na Bandari FC.
Mshambulizi wa Mwatate United FC Alvin Ngoto almaarufu Mentai amesaini mkataba wa miaka miwili na Bandari FC.Mshambulizi huyo hatari alifunga mabao 17 katika msimu uliopita...
Jinsi Wasanii walivyopokea Mirabaha nchini Tanzania
Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) imegawa mirabaha kwa wasanii nchini, hawa ni wasanii wa Bongofleva waliopata fedha nyingi zaidi. Kuanzia mwakani mirabaha itakusanywa na wasanii...