Hospitali kuu ya Pwani yatangaza kufungwa kwa lango kuu kwa miezi 3

Share this story

Hospitali kuu ya Rufaa ya Pwani imetangaza kufunga kwa muda lango lake kuu.

Hatua hiyo itasaidia kuwezesha ukarabati ulioratibiwa wa CGTRH.

Eneo lingine litakalo fungwa kwa muda ni pamoja na eneo la usajili, kituo cha uzazi, eneo la majeruhi/ OPD na kitengo cha Meno.

Wagonjwa wameshauriwa kutumia lango la majeruhi kupata hospitali.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post PSC Announces 4000 Internship Opportunities
Next post Juja Mp George Koimburi Charged With Self Abduction