ZIPAPA TENA: Chirau Ali Mwakwere Achaguliwa kuwa Msemaji wa Jamii ya Digo
Aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje Chirau Ali Mwakwere sasa ndiye msemaji wa Jamii ya Digo. Mwakwere alichaguliwa katika wadhifa huo na jamii...
Askofu Jackson Ole Sapit aikosoa serikali kwa kupanda kwa gharama ya maisha.
Askofu mkuu Jackson Ole Sapit ameitaka serikali kuweka mikakati upya ya utekelezaji wa ahadi walizozitoa katika kipindi cha kampeni huku akisema kuwa ni wakati sasa...
Viongozi wa UDA Taveta waongoza sherehe ya kusherekea ushindi wa Ruto
Viongozi wa UDA na mashabiki wa muungano wa UDA siku ya leo tarehe 17 mosi, waliongoza sherehe ya kusherekea ushindi wa Wiliam Ruto kama raisi...
Joho Akabidhi Mamlaka Kwa Gavana Abdulswamad.
Aliyekuwa gavana wa Mombasa Hassan Joho siku ya leo alipeana mamlaka rasmi kwa mrithi wake Abdulswamad Nassir. Joho alihudumu kwa mihula miwili tangu kuchukua uongozi...
Naomi Asema Bye! Bye! kwa siasa za Taveta, Amuunga mkono Mh.Bwire
Aliyekuwa mbunge wa Taveta mh. Naomi Shabani amesema kwanza amejiondoa rasmi kwa siasa za Taveta na hatasimama tena kuwania ubunge wa Taveta mwaka wa 2027....
????-??????? ?????? ?????????? ????? ?????? ?? ??????? ??????? ???????? ??????, ???????????? ??? competitor ?????? ???? ?????
????-??????? ?????? ?????????? ????? ?????? ?? ??????? ??????? ???????? ??????, ???????????? ??? ????? ?????? ???? ????? She congratulated her competitor Bwire Okano of Wiper party....